June 2025

...🚨🚨𝗔𝗬𝗨𝗕 𝗟𝗔𝗞𝗥𝗘𝗗 𝗔𝗠𝗪𝗔𝗚𝗔 𝗪𝗜𝗡𝗢

𝐑𝐀𝐒𝐌𝐈: Ayoub Lakred amejiunga na FUS Rabat kwa mkataba wa miaka miwili! 🔴⚪️ Kipa huyo kutoka Morocco ameagana na vigogo wa Tanzania, Simb…

...🚨🚨𝗦𝗜𝗟𝗟𝗔𝗛 𝗥𝗔𝗦𝗠𝗜 𝗔𝗔𝗚𝗔 𝗔𝗭𝗔𝗠 𝗞𝗨𝗧𝗜𝗠𝗞𝗜𝗔 𝗞𝗔𝗜𝗭𝗘𝗥 𝗖𝗛𝗜𝗘𝗙𝗦

Hadithi ya Gibril Sillah nchini Tanzania imefikia tamati. Ingawa Yanga SC walionyesha nia ya kumsajili, mshambuliaji huyo wa Gambia ameamua hatasa…

...🚨🚨𝗧𝗔𝗕𝗢𝗥𝗔 𝗛𝗔𝗪𝗔𝗣𝗢𝗜,𝗪𝗔𝗦𝗔𝗝𝗜𝗟𝗜 𝗠𝗚𝗛𝗔𝗡𝗔

TABORA YAOPOA KIFAA GHANA UNDER 23 Tabora United wamemsajili beki wa kushoto wa Ghana U23, William Denkyi kwa mkataba wa miaka mitatu kama mcheza…

..🚨🚨𝗬𝗔 𝗡𝗚𝗢𝗠𝗔 𝗬𝗔𝗠𝗞𝗨𝗧𝗔 𝗖𝗛𝗘 𝗠𝗔𝗟𝗢𝗡𝗘

Baada ya Fabrice Ngoma kuagana na mashabiki wa Simba kabla ya klabu kumuaga rasmi. Habari nilizo nazo ni kuwa Chemalone pia anaweza kuondoka klabu…

...🚨🚨𝗡𝗗𝗢𝗔 𝗬𝗔 𝗡𝗚𝗢𝗠𝗔 𝗡𝗔 𝗦𝗜𝗠𝗕𝗔 𝗬𝗔𝗙𝗜𝗞𝗜𝗔 𝗠𝗪𝗜𝗦𝗛𝗢

🚨🇨🇩 | Muda wa Fabrice Ngoma katika Simba SC unafikia tamati — mkataba wake unaisha kesho na hautafanyiwa upya. Kiungo huyo kutoka DR Congo anat…

..🚨🚨𝗠𝗪𝗔𝗠𝗨𝗭𝗜 𝗪𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗜 𝗠𝗘𝗖𝗛𝗜 𝗬𝗔 𝗗𝗘𝗥𝗕𝗬 𝗛𝗔𝗖𝗛𝗘𝗞𝗜 𝗡𝗔 𝗪𝗢𝗪𝗢𝗧𝗘

🚨 MWANASHERIA WA MISRI KUAMUA KARIAKOO DERBY - AMIN MOHAMED OMAR Niwapongeze mno ligikuu kwa kuamua kuja na waamuzi kutoka nje ya Nchi hasa …

...🚨🚨🚨𝗢𝗞𝗘𝗟𝗟𝗢 𝗞𝗨𝗧𝗨𝗔 𝗠𝗦𝗜𝗠𝗕𝗔𝗭𝗜

🚨TRANSFER UPDATE; Allan Okelo kijana kutoka Uganda ambaye amesumbua sana ligi iliyoisha ni jina ambalo linatajwa sana mitaa ya Kariakoo,Klabu ya …

..🚨🚨𝙑𝙄𝙂𝙊𝙂𝙊 𝙐𝙇𝘼𝙔𝘼 𝙒𝘼𝙈𝙉𝙔𝙀𝙈𝙀𝙇𝙀𝘼 𝙈𝙋𝘼𝙉𝙕𝙐

Kiungo wa Team ya Simba SC Tanzania raia wa Kongo Élie Mpanzu (23) amekuwa akifuatiliwa kwa ukaribu na Team za Ulaya baada ya kuonesha kiwango ki…

....🚨🚨𝗘𝗖𝗨𝗔 𝗖𝗘𝗟𝗘𝗦𝗧𝗜𝗡 𝗞𝗨𝗧𝗨𝗔 𝗠𝗦𝗜𝗠𝗕𝗔𝗭𝗜 𝗠𝗦𝗜𝗠𝗨 𝗨𝗝𝗔𝗢

Klabu ya Zoman FC imekataa ofa rasmi iliyotumwa na Yanga SC ili kupata saini ya Mshambuliaji Ecua Célestin (23) ambaye yupo kwa mkopo ASEC Mimo…

...🚨🚨𝗦𝗔𝗠𝗜𝗔 𝗔𝗪𝗔𝗜𝗧𝗔 𝗦𝗜𝗠𝗕𝗔,𝗬𝗔𝗡𝗚𝗔 𝗝𝗨𝗡𝗘 𝟮𝟱 𝗞𝗪𝗔 𝗠𝗞𝗔𝗣𝗔

Raisi wa Tanzania Samia Suluhu Hassani ,Leo amekutana na Kufanya Kikao na Viongozi wa Simba ya Yanga ikulu ,Maongezi hayo yameleta tija Mara Baada …

...🚨🚨𝗕𝗔𝗥𝗨𝗔 𝗞𝗨𝗧𝗢𝗞𝗔 𝗪𝗜𝗭𝗔𝗥𝗔 𝗬𝗔 𝗠𝗜𝗖𝗛𝗘𝗭𝗢 𝗬𝗔𝗧𝗨𝗔 𝗦𝗜𝗠𝗕𝗔

Barua hiyo inayoelezea utayari wa uwanja wa mkapa kwa Derby kati ya Simba dhidi ya Yanga imetumwa leo hii kwa klabu ya Simba kutoka wizara ya utama…

...🚨𝗕𝗔𝗔𝗗𝗔 𝗬𝗔 𝗦𝗜𝗠𝗕𝗔,𝗬𝗔𝗡𝗚𝗔 𝗕𝗔𝗟𝗘𝗞𝗘 𝗔𝗣𝗔𝗧𝗔 𝗗𝗜𝗟𝗜

🇨🇩JEAN OTHOS BALEKE TO MTIBWA SUGAR Mshambuliaji wa zamani wa TP mazembe,Simba SC na Yanga SC ambaye kwasasa ni Mchezaji huru Hana timu baada y…

...🚨🚨𝗬𝗔𝗡𝗚𝗔,𝗧𝗙𝗙 𝗪𝗔𝗙𝗜𝗞𝗜𝗔 𝗣𝗔𝗕𝗔𝗬𝗔

BARUA YA YANGA WAMEIYACHA LEO TFF Kwenye barua ya Yanga waliyoipeleka TFF leo ambayo Ujumbe wa Yanga uliongozwa na Mtendaji Mkuu, Andre Mtine na …

...🚨🚨𝗥𝗨𝗡𝗚𝗨 𝗟𝗔 𝗖𝗔𝗙 𝗞𝗨𝗪𝗔𝗦𝗛𝗨𝗞𝗜𝗔 𝗬𝗔𝗡𝗚𝗔

ENDAPO TIMU ITAKWEPA KUINGIZA KIKOSI UWANJANI Inapaswa kujiandaa na haya madhara mazito kwa mujibu wa TFF na CAF: ✅ Kupokonywa alama 15 moja kw…

..🚨🚨𝗔𝗭𝗔𝗠 𝗪𝗔𝗙𝗔𝗡𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗙𝗨𝗥𝗨 𝗞𝗪𝗔 𝗙𝗘𝗜𝗧𝗢𝗧𝗢 ,𝗜𝗟𝗔 𝗕𝗔𝗗𝗢 𝗔𝗡𝗔𝗧𝗔𝗞𝗔 𝗞𝗨𝗢𝗡𝗗𝗢𝗞𝗔 𝗔𝗭𝗔𝗠

🚨🇹🇿 𝐄𝐗𝐂𝐋𝐔𝐒𝐈𝐕𝐄: Maelezo kamili kuhusu ofa ya mkataba mpya wa Azam kwa Feisal Salum. 🚨🇹🇿 • Kwanza kabisa, mkataba wa sasa wa Salum u…

...🚨🚨𝗪𝗔𝗦𝗜𝗣𝗢𝗣𝗘𝗟𝗘𝗞𝗔 𝗧𝗜𝗠𝗨 ,𝗦𝗜𝗠𝗕𝗔 𝗕𝗜𝗡𝗚𝗪𝗔

Klabu ya Yanga wasipopeleka timu uwanjani Juni 15, 2025 kwa mujibu wa sheria na kanuni za mpira wa miguu basi watakutana na rungu zito. 1. Wataka…

....🚨🚨𝗣𝗔𝗡𝗚𝗔 𝗞𝗨𝗕𝗪𝗔 𝗞𝗨𝗣𝗜𝗧𝗔 𝗠𝗦𝗜𝗠𝗕𝗔𝗭𝗜

Klabu ya Simba inahusishwa na nia ya kuwasajili wachezaji mbalimbali katika dirisha Kubwa la usajili la June 2025. Miongoni mwa majina yanayotajwa…
NextGen Digital Welcome to WhatsApp chat
Howdy! How can we help you today?
Type here...