Posts

...🚨🚨𝗔𝗬𝗨𝗕 𝗟𝗔𝗞𝗥𝗘𝗗 𝗔𝗠𝗪𝗔𝗚𝗔 𝗪𝗜𝗡𝗢

𝐑𝐀𝐒𝐌𝐈: Ayoub Lakred amejiunga na FUS Rabat kwa mkataba wa miaka miwili! 🔴⚪️ Kipa huyo kutoka Morocco ameagana na vigogo wa Tanzania, Simba SC, na kurejea nyumbani. Mkataba wake ulisainiwa rasmi leo asubuhi.

Post a Comment

NextGen Digital Welcome to WhatsApp chat
Howdy! How can we help you today?
Type here...