المشاركات

...🚨🚨𝗩𝗜𝗧𝗔 𝗬𝗔 𝗨𝗦𝗔𝗝𝗜𝗟𝗜 𝗦𝗜𝗠𝗕𝗔 𝗬𝗔𝗙𝗜𝗞𝗔 𝗣𝗔𝗧𝗔𝗠𝗨

🚨🇹🇿 𝐄𝐗𝐂𝐋𝐔𝐒𝐈𝐕𝐄: klabu ya Simba SC bado haijamaliza usajili — kwani licha ya namba ya wachezaji wa wa kigeni tayari wamejaza nafasi zote 12 za wachezaji wa kimataifa. 💯

Vyanzo vinaeleza: Endapo watampata mchezaji wa kiwango cha juu wanayemlenga, basi kuna uwezekano mkubwa kwamba Lionel Ateba 🇨🇲 au Joshua Mutale 🇿🇲 wataachwa kwenye kikosi. Uamuzi huo tayari umefikishwa ndani ya klabu.

Simba SC wamepokea: — Ofa kadhaa kwa ajiliya Ateba na ofa moja rasmi kwa Mutale, lakini klabu imewajulisha vilabu vinavyovutiwa kuwa “hakutakuwa na kuondoka mpaka mbadala sahihi apatikane.”

📌 Masharti ya kuvunja mikataba ya wachezaji hao wote wawili yanatajwa kuwa “magumu sana,” jambo linalomaanisha kuwa dili halitakuwa rahisi isipokuwa nafasi bora ijitokeze.

إرسال تعليق

NextGen Digital Welcome to WhatsApp chat
Howdy! How can we help you today?
Type here...