ุงู„ู…ุดุงุฑูƒุงุช

...๐Ÿšจ๐Ÿšจ๐—ž๐—ข๐—–๐—›๐—” ๐— ๐—ฃ๐—ฌ๐—” ๐—ฌ๐—”๐—ก๐—š๐—” ๐—•๐—”๐—Ÿ๐—”๐—” ๐—ง๐—จ๐—ฃ๐—จ

HUYUU APAAA KOCHA MPYA WA YANGA Anaitwa Romain Folz (35) alizaliwa Bordeaux, Ufaransa ๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท Huyu kocha amefanya kazi sehemu zifuatazo๐Ÿ‘‡ 2025 Alikuwa Mkurugenzi wa michezo wa Olympique Akbou ya Algeria ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ 2024 Alikuwa kocha msaidizi wa Mamelodi Sundown ya South Africa ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ 2023 Alikuwa kocha mkuu wa Horoya ya Guinea ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ณ 2022 Alikuwa kocha mkuu wa Amazilu ya South Africa ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ 2021 Alikuwa kocha Mkuu wa Township Rollers ya Botswana ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ผ 2019 Alikuwa kocha Msaidizi wa Pyramid ya Egypt ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ 2018 Alikuwa kocha msaidizi wa timu ya taifa ya Uganda ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ Huyu kocha ana UEFA Pro Licence na Pro Licence ya CONMEBOL (America). Huyu kocha ni Mhuimini wa (4-3-3) na timu yake ina-press kinoma. Wananchi Remember the Name Romain Folz, balaa jingine ndani ya NBC Premier League ๐Ÿ˜„

ุฅุฑุณุงู„ ุชุนู„ูŠู‚

NextGen Digital Welcome to WhatsApp chat
Howdy! How can we help you today?
Type here...