المشاركات

...🚨🚨🚨𝘼𝙕𝙄𝙕𝙄 𝙆𝙄 ,𝙔𝘼𝙉𝙂𝘼 𝙉𝙄 𝙎𝙒𝘼𝙇𝘼 𝙇𝘼 𝙈𝙐𝘿𝘼 𝙏𝙐

Mkataba wa Aziz Ki na Wydad ni wa miezi 3 tu. Iwapo Wydad wanamtaka kwa mkataba wa kudumu wa miaka 2, basi lazima wafanye maamuzi kabla ya Julai 10. Bado ana mwaka mmoja wa mkataba na Yanga na ana haki ya kurejea. Hatimaye ukweli umewekwa wazi baada ya taarifa nyingi zisizo sahihi.

إرسال تعليق

NextGen Digital Welcome to WhatsApp chat
Howdy! How can we help you today?
Type here...