المشاركات

...🚨🚨𝗥𝗨𝗡𝗚𝗨 𝗟𝗔 𝗖𝗔𝗙 𝗞𝗨𝗪𝗔𝗦𝗛𝗨𝗞𝗜𝗔 𝗬𝗔𝗡𝗚𝗔

ENDAPO TIMU ITAKWEPA KUINGIZA KIKOSI UWANJANI Inapaswa kujiandaa na haya madhara mazito kwa mujibu wa TFF na CAF: ✅ Kupokonywa alama 15 moja kwa moja. ✅ Kutozwa faini hadi Mamilioni ya Shilingi. ✅ Kufungiwa kushiriki mashindano ya CAF kwa msimu mzima au zaidi. ✅ Kupoteza leseni ya CAF Club Licensing. ✅ Kutofuzu kuwa mwakilishi wa Tanzania kimataifa hata kama imemaliza nafasi ya juu.
Kutopeleka timu uwanjani si mchezo, bali ni kosa la kinidhamu linaloonesha utovu wa heshima kwa ligi na mashindano. USHAURI KWA VILABU: CAF haitaki mzaha. Sheria zake ni kali, na utekelezaji wake ni wa haraka wenye makali ya msumeno. Vilabu vyetu nchini vinapaswa kuwa makini sana kabla ya kufanya maamuzi yasiyo ya kiuwanja.

إرسال تعليق

NextGen Digital Welcome to WhatsApp chat
Howdy! How can we help you today?
Type here...