المشاركات

....🚨🚨𝗣𝗔𝗡𝗚𝗔 𝗞𝗨𝗕𝗪𝗔 𝗞𝗨𝗣𝗜𝗧𝗔 𝗠𝗦𝗜𝗠𝗕𝗔𝗭𝗜

Klabu ya Simba inahusishwa na nia ya kuwasajili wachezaji mbalimbali katika dirisha Kubwa la usajili la June 2025. Miongoni mwa majina yanayotajwa ni pamoja na:
Foday Trawally Abdelhay Forsy Sabri Kondo Charles Senfuko Kambou Dramane Conte Ibrahima Seck Allan Okello Lasinne Kouma Aidha, kuna taarifa kuwa baadhi ya wachezaji kama Fabrice Ngoma na Ayoub Lakred,Okejepha,Ateba,Debora huenda wakaachwa katika kipindi cha usajili .

إرسال تعليق

NextGen Digital Welcome to WhatsApp chat
Howdy! How can we help you today?
Type here...