المشاركات
𝙏𝙁𝙁,𝘽𝙊𝘿𝙄 𝙔𝘼 𝙇𝙄𝙂𝙄 𝘽𝘼𝘿𝙊 𝙆𝙄𝙕𝙐𝙉𝙂𝙐𝙈𝙆𝙐𝙏𝙄
Kutoka Kwa Mchambuzi Nguli wa Michezo Alex Ngereza Ameandika Ujumbe mzito Akisema Kuwa hujuma zimeanzwa kutengenezwa ili kuichafua TFF na Bodi ya Ligi
"Singida nao hawataki kucheza mchezo wa FA dhidi ya Simba kwasababu ya kutotendewa haki na waamuzi kwenye mchezo wa jana dhidi ya Simba kwenye ligi kuu wakidai kwamba walionewa
Nataka kuwakumbusha kitu jana waliahidiwa kupewa million 300 na niliarifiwa kwamba hizo fedha zilitakiwa kutolewa na mlezi wao na huyo mlezi wao ni mmoja wa viongozi waliopo Yanga
Sasa, kwa wakati huu ambao wanataka uchunguzi ufanyike kuhusu mwenendo wa waamuzi inabidi nao wachunguzwe kwanini mlezi wao aliwapa ahadi ya fedha dhidi ya Simba ikiwa ni miongoni mwa viongozi wa Yanga ambao ni wapinzani wakubwa wa Simba
Nakuwakumbusha tu kwamba mlezi wao walimtangaza wenyewe ile siku ya uzinduzi wa Eatel Stadium pale Singida na kwa taarifa nilizonazo yeye ndio aliwaahidi kutoa zile milioni 300 kama wangeifunga Simba
Kuna mchezo unatengezwa hapa ili viongozi wa bodi ya ligi na TFF waonekani hawafai" Ameandika Alexngereza