المشاركات

🚨🚨𝗧𝗘𝗧𝗘𝗦𝗜: 𝗞𝗢𝗖𝗛𝗔 𝗝𝗨𝗟𝗜𝗘𝗡 𝗖𝗛𝗘𝗩𝗔𝗟𝗜𝗘𝗥 𝗞𝗨𝗜𝗡𝗢𝗔 𝗬𝗔𝗡𝗚𝗔 𝗦𝗖

🚨🚨𝗧𝗘𝗧𝗘𝗦𝗜: 𝗞𝗢𝗖𝗛𝗔 𝗝𝗨𝗟𝗜𝗘𝗡 𝗖𝗛𝗘𝗩𝗔𝗟𝗜𝗘𝗥 𝗞𝗨𝗜𝗡𝗢𝗔 𝗬𝗔𝗡𝗚𝗔 𝗦𝗖 Kocha wa zamani wa ASEC Mimosas Raia Wa Ufaransa , Julien Henri Patrick Chevalier , Yuko Mbioni kujiunga na kuifundisha Yanga SC kuanzia msimu ujao! Chevalier, mwenye leseni ya juu ya UEFA A, ni muumini wa soka la kisasa, akipendelea mfumo wa 4-2-3-1, uliomletea mafanikio makubwa akiwa na ASEC Mimosas. Aliiongoza ASEC kwa mafanikio ya ndani na kimataifa, na sasa anakuja Tanzania kuendeleza mafanikio na kuleta nidhamu ya soka la Ulaya ndani ya kikosi cha Wananchi!

إرسال تعليق

NextGen Digital Welcome to WhatsApp chat
Howdy! How can we help you today?
Type here...