المشاركات

SIMBA HACHUKUI KOMBE LOLOTE MSIMU HUU

Ameandika mchambuzi ALEX ngereza ✍️✍️ Simba hawawezi kuchukua kumbe lolote msimu huu, hawana kikosi cha kushindana na Yanga ambaye yupo kwenye mashindano yote ya Tanzania ligi na FA lakini kwenye shirikisho, hawana timu ya kushindana na RS Berkane hata kama watafika fainali Je unakubaliana nae?

إرسال تعليق

NextGen Digital Welcome to WhatsApp chat
Howdy! How can we help you today?
Type here...