Posts

...πŸš¨πŸš¨π—žπ—’π—–π—›π—” 𝗠𝗣𝗬𝗔 π—¬π—”π—‘π—šπ—” π—•π—”π—Ÿπ—”π—” 𝗧𝗨𝗣𝗨

HUYUU APAAA KOCHA MPYA WA YANGA Anaitwa Romain Folz (35) alizaliwa Bordeaux, Ufaransa πŸ‡«πŸ‡· Huyu kocha amefanya kazi sehemu zifuatazoπŸ‘‡ 2025 Alikuwa Mkurugenzi wa michezo wa Olympique Akbou ya Algeria πŸ‡©πŸ‡Ώ 2024 Alikuwa kocha msaidizi wa Mamelodi Sundown ya South Africa πŸ‡ΏπŸ‡¦ 2023 Alikuwa kocha mkuu wa Horoya ya Guinea πŸ‡¬πŸ‡³ 2022 Alikuwa kocha mkuu wa Amazilu ya South Africa πŸ‡ΏπŸ‡¦ 2021 Alikuwa kocha Mkuu wa Township Rollers ya Botswana πŸ‡§πŸ‡Ό 2019 Alikuwa kocha Msaidizi wa Pyramid ya Egypt πŸ‡ͺπŸ‡¬ 2018 Alikuwa kocha msaidizi wa timu ya taifa ya Uganda πŸ‡ΊπŸ‡¬ Huyu kocha ana UEFA Pro Licence na Pro Licence ya CONMEBOL (America). Huyu kocha ni Mhuimini wa (4-3-3) na timu yake ina-press kinoma. Wananchi Remember the Name Romain Folz, balaa jingine ndani ya NBC Premier League πŸ˜„

Post a Comment

NextGen Digital Welcome to WhatsApp chat
Howdy! How can we help you today?
Type here...