Posts

...🚨🚨🚨𝗔𝗥𝗧𝗛𝗨𝗥 𝗕𝗔𝗗𝗔 𝗔𝗠𝗪𝗔𝗚𝗔 𝗪𝗜𝗡𝗢 𝗞𝗪𝗔 𝗩𝗜𝗚𝗢𝗚𝗢 𝗔𝗟𝗚𝗘𝗥𝗜𝗔

JS Kabylie imekamilisha usajili wa kiungo Mtanzania mwenye umri wa miaka 22, Josaphat Arthur Bada, kutoka Singida Black Stars. Mchezaji huyo wa zamani wa ASEC Mimosas amesaini mkataba wa miaka mitatu na atajiunga rasmi na miamba hiyo ya Algeria kwa msimu ujao.

Post a Comment

NextGen Digital Welcome to WhatsApp chat
Howdy! How can we help you today?
Type here...